Rais Samia kuongoza waombolezaji kuaga mwili wa Msuya Siku ya mazishi ya hayati Msuya ratiba itaanza kwa ibada maalumu itakayofanyika katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) lililopo Usangi
Wawakilishi wang'aka bajeti kiduchu ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais Akiwasilisha Bajeti ya Makadirio Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais leo Mei 9, 2025 Waziri mwenye dhamana, Harusi Said Suleiman ameomba baraza lijadili na kuhidhinisha...
Dau la atakayemuona Mdude lafikia Sh15 milioni Dau hilo la Sh10 milioni linaongezea na lile lililotangazwa awali na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Dk Juma Homera, la Sh5 milioni, hatua inayoashiria uzito wa tukio hilo kwa pande zote mbili – Serikali...
PRIME Ahueni kwa magari, bajaji za gesi Kwa mujibu wa TPDC, mpango uliopo ni kupeleka huduma Dodoma na Morogoro, ikielezwa pia ununuzi wa vituo vitano vinavyohamishika upo hatua ya mwisho.
PRIME Jeuri ya Yanga kugomea ‘Kariakoo Dabi’ iko hapa Jumatatu, Mei 5 mwaka huu, kamati ya utendaji ya Yanga ilitoa tamko zito la kugomea kucheza mechi ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu dhidi ya mtani wao wa jadi Simba ‘Kariakoo Dabi’ ambayo awali...
Mwananchi Newsletter Sent every week with an update on the latest Africa news and analysis to keep you plugged into the region. Weekly newsletter Subscribe
Abigail Chams aandika historia hii kwenye Bongo Fleva Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Abigail Chams, ameweka historia kwa kuwa msanii wa kwanza wa kike kutoka Tanzania kuwania tuzo ya kimataifa ya BET katika kipengele cha ‘Best International Act’, hatua...
PRIME Tumpongeze Rais Samia sambamba na wanahabari, ila tukaze uzi Asante Mama kwa kutuongoza katika kuhakikisha uhuru huu muhimu wa habari unaimarika. Hata hivyo, kazi bado ipo, hasa ikizingatiwa kuwa huu ni mwaka wa uchaguzi.
Mabadiliko homoni yanavyoathiri sukari kwa wanawake Kwa wanawake, mabadiliko ya homoni hutokea wakati wa mzunguko wa hedhi, ujauzito, kunyonyesha, na wakati wa kukoma hedhi. Hali hizi zinaweza kuwa na athari kubwa kwa udhibiti wa viwango vya sukari.