
| Wakaguzi waenda Singapore kuchunguza miradi hewa ya TBS | Send to a friend |
| Tuesday, 21 February 2012 20:18 |
|
Patricia Kimelemeta OFISI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), imetuma wakaguzi kwa ajili ya kukagua ofisi za ukaguzi wa magari nje ya nchi zinazosimamiwa na Shirika la Viwango Tanzania (TBS). “Tumelazimika kutuma wakaguzi nje ya nchi kwa ajili ya kufanya uchunguzi na kukagua ofisi za ukaguzi wa magari hayo, hii itasaidia kupata taarifa sahihi kuhusu tuhuma hizo na ukweli wa mambo yenyewe, jambo ambalo linaweza kurahisisha upatikanaji taarifa sahihi za madai hayo,” alisema Utouh. |

Habari Mpya
Picha
Zenye Mvuto
- Prof Mwandosya aapishwa waziri kazi maalum
- Katiba Mpya: Wananchi Makambako waapa, iwe jua au mvua lazima watoe maoni yao
- Mchakato wa Katiba: Nahodha yupi aaminike? 1
- Wanavyosema wanasiasa kuhusu Katiba mpya
- Serikali inasita nini kutumia Kiswahili kufundishia shule za sekondari?
- Jamii inaweza kuleta mabadiliko katika elimu
- Nafasi za Kazi
- Links za wateja na washirika wetu
- Muswada wa madini waitoa jasho serikali
- Bi kizee asafari kilometa 50 kupinga hotuba ya JK, AMUONYA ASITUMIE MADARAKA YAKE VIBAYA
- Mishahara sekta binafsi Tucta yashtukia danganya toto
- Vigogo UVCCM wajiuzulu
- Mwinyi atetea ajira za wafanyakazi, ashauri utu uheshimiwe kudumisha Amani















Comments