Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Ummy Mwalimu anena baada ya Mbowe kusema

Muktasari:

  • Ni kuhusu matibabu ya Lissu jijini Nairobi

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema kuwa ili Serikali kushiriki kwenye matibabu ya Mbunge wa Singida Mashariki(Chadema), Tundu Lissu ni lazima yawepo maombi.

Katika ukurasa wake wa Twitter, Ummy ameandika, “Mgonjwa alitolewa kwenye utaratibu wa Serikali alipopelekwa NRB. Sasa Gharama/Tiba zaid yahitajika. Serikali inaingiaje bila RidhaaYafamilia?

“Mgonjwa ni Mbunge, anahitaji matibabu zaidi. Lkn kwa kuwa sasa yupo nje ya utaratibu wa Serikali, Serikali kushiriki ni lazima yawepo maombi.”

Ummy ameandika hayo baada ya Yerico Nyerere kuhoji katika Twitter kuwa, “Wote tuliochangia matibabu na tunaoendelea kuchangia hatujaandikiwa barua na familia ya Lissu, ni @umwalimu tu ndie anasubiri barua rasmi.”