PRIME Jeuri ya Yanga kugomea ‘Kariakoo Dabi’ iko hapa Jumatatu, Mei 5 mwaka huu, kamati ya utendaji ya Yanga ilitoa tamko zito la kugomea kucheza mechi ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu dhidi ya mtani wao wa jadi Simba ‘Kariakoo Dabi’ ambayo awali...